Friday, May 1, 2009

Anguko la Uchumi la Ulimwengu na majaaliwa ya MBA

Anguko la Uchumi wa Ulimwengu limeleta madhara makubwa lakini lililowazi ni juu ya UBORA na UMAKINI kwa ujuzi unaotolewa katika elimu ya biashara DUNIANI.
MBA imekuwa ni elimu pendwa kwa sasa, kunamadai hasa nchini Marekani juu ya ubora wa ELIMU ya MB kunakoibuliwa na kushindwa kwa wasomi wake kutoa muelekeo wa wazi na kulinda uchumi wa DUNIA.
Kampuni kubwa za kimerakani zilizoanguka zinaongozwa na wataalamu wa biashara kutoka vyuo bora kama vile Havard. Sasa nini kimefanya washindwe kutoa hali halisi ya mambo?Fuatilia makala hii.

No comments: