Friday, March 19, 2010

Bravo TRA

BRAVO TRA kwa kufuta kodi ya silimia 18 ya VAT kwa wauzaji wa mboga mboga nje ya nchi.Hakika huu ni mwendelezo wa mwanzo mpya tuliwahi kuandika juu ya hili, januari 4 mwaka huu.KUpitia gazeti la serikali Daily News la tarehe 18.03.2010, Kamishna wa kodi amefuta kodi ya VAT ya asilimia 18.
Kila la heri wakulima na wajasiriamli katika sekta ndogo ya mbogamboga na maua.

No comments: